Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,285
- 9,920
Nilitaka ku recover pc yangu baada ya kuanza tabia ya kustuck, nimefika step inahitaji bitlocker keys ambazo sina, naomba msaada hapo nafanyaje kwani nashindwa kurudi kwenye window Kama kawaida.
Nikiizima na kuwasha inarudi hapo hapo Kama inavyoonyesha kwenye attachment picha hapo chini.
Vyovyote utakavyofanya kwa options zote hapo itakurudisha uweke keys.
Nimeenda kwenye macrosoft account yangu hakuna hizo keys.
Plse naomba msaada wa wenye ujuzi zaidi.
Nikiizima na kuwasha inarudi hapo hapo Kama inavyoonyesha kwenye attachment picha hapo chini.
Vyovyote utakavyofanya kwa options zote hapo itakurudisha uweke keys.
Nimeenda kwenye macrosoft account yangu hakuna hizo keys.
Plse naomba msaada wa wenye ujuzi zaidi.