Naombeni msaada bitrovery keys

Kurunzi

JF-Expert Member
Jul 31, 2009
9,285
9,920
Nilitaka ku recover pc yangu baada ya kuanza tabia ya kustuck, nimefika step inahitaji bitlocker keys ambazo sina, naomba msaada hapo nafanyaje kwani nashindwa kurudi kwenye window Kama kawaida.

Nikiizima na kuwasha inarudi hapo hapo Kama inavyoonyesha kwenye attachment picha hapo chini.

Vyovyote utakavyofanya kwa options zote hapo itakurudisha uweke keys.

Nimeenda kwenye macrosoft account yangu hakuna hizo keys.

Plse naomba msaada wa wenye ujuzi zaidi.

JPEG_20201202_121148_137762856487375499.jpg
JPEG_20201202_121256_3120259827685070529.jpg
JPEG_20201202_121333_5055559863129629101.jpg
JPEG_20201202_121357_7561694373594908825.jpg
JPEG_20201202_121425_2433460631764009064.jpg
JPEG_20201202_121451_4326131603354129462.jpg
JPEG_20201202_121538_2597223385865814157.jpg
JPEG_20201202_121709_5662286343756995240.jpg
 
Back
Top Bottom