Kiswahili tunatofautiana lakin nahisi hoo na pilipili mboga ni same
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
asante farkhina nimekupenda kwa jinsi unavyotupa elimu ya mapishi mbalimbali Mungu akubariki. Jana nimepika bagia za dengu zikatoka vizuri sana. Ila natamani kupika ile vegetable soup ila hizo content zake hata sizifahamu kama figili mwitu zinapatikana wapi.