Naombeni mnifundishe kumtongoza mwanamke

Naombeni mnifundishe kumtongoza mwanamke

Cjuimapenzi

Member
Joined
Apr 13, 2014
Posts
24
Reaction score
3
jaman nina miaka 30 cha ajabu hata cjui kumtongoza mwanamke. maana nimechoka kutongozewa! naomba kwa anayejua hako kaujuzi kakutongoza anifundishe toka mwanzo unapomkuta mwanamke unaanzaje mpaka unapomalizia!
 
jaman nina miaka 30 cha ajabu hata cjui kumtongoza mwanamke. maana nimechoka kutongozewa! naomba kwa anayejua hako kaujuzi kakutongoza anifundishe toka mwanzo unapomkuta mwanamke unaanzaje mpaka unapomalizia!

Vaa kanga, ukitongozwa chukua ujuzi hapo. NB usikubali kuliwa
 
Yaani wewe ni wa ajabu kama kamdudu fulani hivi, unafunga safari kuanzisha uzi ufundishwe kutongoza? Ndo maana umefungua na id mpya kabisa!!!mkesho utakuja ufundishwe namna ya kuingiza....n.k sasa nakushauri hebu jipime kama ushauri unaotaka unaendana na umri wako.
 
Miaka 30 yote ulikuwa wapi hujui kutongozwa,watu wanakutongozea wanamla kwanza halafu wanakuachia,acha udomo zege
 
Hata mi sijui, sijawahi kutongoza.
Hivi kuna kutongoza tena maisha haya?
Manake huwa najikuta tu nimeshakula...
 
Hivi, katika Biblia wazazi wa Mary Magdalene walikuwa kina nani?
 
huyu ni wakiume au mwanaume..? DEMBA nisaidie kujua...
 
Last edited by a moderator:
Sweetheart ulizimuka bila shaka.... Hhahaha hope all is well.

Najua tu Baba yake alikua anaitwa Syrus, na alikuwa na ndugu wawili ambao ni Martha na Lazaro.

Hivi, katika Biblia wazazi wa Mary Magdalene walikuwa kina nani?
 
Tafuta hela utatongozwa na utapata experience ya kutongoza.
 
jaman nina miaka 30 cha ajabu hata cjui kumtongoza mwanamke. maana nimechoka kutongozewa! naomba kwa anayejua hako kaujuzi kakutongoza anifundishe toka mwanzo unapomkuta mwanamke unaanzaje mpaka unapomalizia!

Tafuta penseli daftari ya vyumba na daftari ya mistari mikubwa na midogo ufutio na kichongeo kisha nijulishe
 
jaman nina miaka 30 cha ajabu hata cjui kumtongoza mwanamke. maana nimechoka kutongozewa! naomba kwa anayejua hako kaujuzi kakutongoza anifundishe toka mwanzo unapomkuta mwanamke unaanzaje mpaka unapomalizia!

Majanga haya 🙁
 
Dah. Ila nashkuru Mkuu.

Ni kifungu kipi kinakupaga nguvu wakati mambo hayaendi?

Yeremia 33:3

niite nami nitakuitikia na kukuonyesha mambo makuu na makubwa usiyoyaweza hapo napata faraja kuwa zipo peke angu
 
jaman nina miaka 30 cha ajabu hata cjui kumtongoza mwanamke. maana nimechoka kutongozewa! naomba kwa anayejua hako kaujuzi kakutongoza anifundishe toka mwanzo unapomkuta mwanamke unaanzaje mpaka unapomalizia!

kutongoza hujui utaweza kumdinya? napata mashaka
 
Mbona rahisi tu ukimuona unayempenda unaanza kudondosha pesa hakikisha anaokota so utaendelea hadi ukifika home utafika nae endelea hadi ufike ndani kwako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom