Naombeni mnieleweshe

Naombeni mnieleweshe

Kwahio leo tutakula story tu mzee mwenzangu 😂!!! Acha uchoyo bana we wakati unaivisha mie nakutia vicheko,,,hebu tufanye huo mchezo wa kiutu uzima 😂
😂😂😂😂😂😂😂 Mzee mwenzangu uwe na siku njema..acha nibembeleze wajukuu.
 
Unaniangusha shogaangu. Mwanamke hakojoi bali anafika kilele. Au unamaanisha wanaofanya squitting?? Hawa ni wachache sana
Kila mwanamke ana uwezo wa kufanya squitting.Squitting ni ishu ya kisaikolojia zaidi kuliko kufanya mapenzi.Wanawake wengi huwa huwapati squitting kwa sababu wanawake wengi huwa hawafanyi mapenzi bali huwa wanafanywa mapenzi na wengine hubakwa.Ili mwanamke afanye squitting anatakiwa kufanya mapenzi.Kufanya mapenzi kwa mwanamke maana yake ni:

1.Maandalizi ya nguvu kisaikolojia.Yaani lazima yeye mwenyewe kisaikolojia apende kufanya bila kushurutishwa na mtu,awe free from any stress,atake na awe na hamu ya kufanya mapenzi na ajiachie kufanya mapenzi bila ya kujiwekea kizuizi chochote kile mfano awe huru kufanya style yake pendwa na siyo tu kufanya style anazotaka mwanaume.

2.Lazima afanye na mtu anaempenda

3.Lazima awe na partner sahihi(anaejua kufanya,anaejua mwanamke wake huwa anataka nini na kuzingatia kile mwanamke wake anachotaka,anaejua mwanamke wake anapaswa kuguswa wapi,mambo ya maandalizi,e.t.c)

Atakae tii hayo masharti matatu hapo juu lazima akojoe maji mengi(Squitting)
 
Kila mwanamke ana uwezo wa kufanya squitting.Squitting ni ishu ya kisaikolojia zaidi kuliko kufanya mapenzi.Wanawake wengi huwa huwapati squitting kwa sababu wanawake wengi huwa hawafanyi mapenzi bali huwa wanafanywa mapenzi na wengine hubakwa.Ili mwanamke afanye squitting anatakiwa kufanya mapenzi.Kufanya mapenzi kwa mwanamke maana yake ni:

1.Maandalizi ya nguvu kisaikolojia.Yaani lazima yeye mwenyewe kisaikolojia apende kufanya bila kushurutishwa na mtu,awe free from any stress,atake na awe na hamu ya kufanya mapenzi na ajiachie kufanya mapenzi bila ya kujiwekea kizuizi chochote kile mfano awe huru kufanya style yake pendwa na siyo tu kufanya style anazotaka mwanaume.

2.Lazima afanye na mtu anaempenda

3.Lazima awe na partner sahihi(anaejua kufanya,anaejua mwanamke wake huwa anataka nini,mambo ya maandalizi,e.t.c)

Atakae tii hayo masharti matatu hapo juu lazima akojoe(Squitting)
Ooooooh....
 
Nimeshakuka wanawake zaidi ya 40 lakin ambao waliwahi kutoa maji mengi wakati wa mgegedo ni wawili tu tena ilikuwa ni Mara moja kwa kila mmoja,wengi wakati wa mgegedo huishia kutoa cream ute mweupe au utelezi mwingi kdogo,lakini kutoa maji mengi kwa mwanamke ni rahisi kama mwanaume utatumia ulimi au vidole
 
Back
Top Bottom