Naombeni maoni

elishababuh

Member
Joined
Oct 6, 2014
Posts
30
Reaction score
0
Hivi demu wako hataki ujiunge na FB ukakubali kutokujiunga nayo mwisho wa siku uko na msela wako ambaye yupo Facebook na unajua ameoa anakuambia kuna demu ambaye anatafuta mwanaume, unamwambia utakikumjua lakini anakulazimisha kumwona unakuta ni demu wako je ungefanyaje kama ni wewe?

Please jibuni kwa makini
 
div.5 itatasumbua sana sidhani kama una elimu yako ya uhakika unaweza ukauliza swali kama hili. la sivyo akili zako ziko fyatu
 
sasa nifanye nini hapo kila kitu kipo wazi


alafu huyo bibie wako hajakua kiakili kakua kimwili tu akili zake ziko mgando na ww vilevile umekatazwa kuingia fb yeye kaingia anatafta nini????
 
Hata hili nalo ni la kuuliza?
 

aaaa ndio yule yule
 
Way back facebook ulazwe mahala pema peponi
 

Duh!.....

Kwahiyo hii hoja hii makini inahitaji majibu makini!?

Asanta.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…