Nitamuelewa ni mtu smart sana; kwani hapotezi nguvu kuuliza the obvious.
hivi utamuelewa vp mpnz wako endapo amekuta msg za mapenzi ulizokuwa unachat na mtg mwingine na hakuulizi kabisa na umemuona akizisoma
una akili sana wwewe!yani huyo mtu aliyesomewa hizo sms hapo moja haikai mbili haisimami!Sio lazima iwe hivyo
wengine hutumia 'kukaa kimya kama adhabu'
ili u feel guilty na ili akunyime nafasi ya wewe kudanganya au kuomba msamaha uji feel better...
Huyu atakuwa anatafuta 'gia' ya kutokea..
Ni issue ya muda tu utaona majibu yake...
Watch out...
hivi utamuelewa vp mpnz wako endapo amekuta msg za mapenzi ulizokuwa unachat na mtg mwingine na hakuulizi kabisa na umemuona akizisoma
mi scenario za aina hii huwa naziita NGUMU KUMEZA TAMU KUTEMA!
hivi utamuelewa vp mpnz wako endapo amekuta msg za mapenzi ulizokuwa unachat na mtg mwingine na hakuulizi kabisa na umemuona akizisoma
...Naye anafanya hicho hicho ambacho nawe unakifanya ila hujamgundua tu...Vinginevyo alistahili kabisa kuuliza kulikoni?