Wababa13
Senior Member
- Dec 27, 2017
- 105
- 70
Kuelekea kwenye interview za nafasi ya Afisa mtendaji wa kijiji/mtaa kuna uwezekano wa hili swali kuwepo 👇🏾
“Eleza ni njia gani utatumia ili kufanikisha zoezi la uhesabiji wa SENSA linalo endeshwa kijijini/mtaani kwako iwapo wananchi wameligomea?”
Wana jukwaa nasubiri majibu mazuri toka kwenu.
“Eleza ni njia gani utatumia ili kufanikisha zoezi la uhesabiji wa SENSA linalo endeshwa kijijini/mtaani kwako iwapo wananchi wameligomea?”
Wana jukwaa nasubiri majibu mazuri toka kwenu.