Nachaone
Member
- Sep 24, 2018
- 67
- 73
Huwa nasikia sikia kuwa endapo wazazi ambao kundi zao za damu zinafanana na wakapata Mtoto basi huyo Mtoto atakuwa na matatizo mengi ya kiafya na hii huweza kupelekea umauti kwa Mtoto huyo.
KUNA UKWELI KUHUSU HILI?? Na kama sio kweli ni kipi ambacho kinaweza kusababisha matatizo ya kiafya kwa mtoto atakayezaliwa kutokana na vinasaba vya wazazi kutoendana???
Sent using Jamii Forums mobile app
KUNA UKWELI KUHUSU HILI?? Na kama sio kweli ni kipi ambacho kinaweza kusababisha matatizo ya kiafya kwa mtoto atakayezaliwa kutokana na vinasaba vya wazazi kutoendana???
Sent using Jamii Forums mobile app