LCD ni Liquid Crystal Display na LED ni light emitting Diode. LED is latest technology and therefore ni nzuri, picha inaweza kuonekana vizuri katika angle tofauti zaidi kuliko LCD.
Hiki ndicho ninachoweza kusema katika lugha rahisi
Zaidi ya uliyoyasema mdau hapo juu LCD ni imara kuliko LED. Licha ya LED kuwa na bei kubwa kuliko LCD, LED pia zinatofautiana viwango.Mfano,Samsung wana LED kuanzia series 4 hadi series 9 na bei zake ni tofauti hata kama size ni ile ile
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.