Wewe kumbe hujaijua jf vizuri na member wake ๐น๐น๐นOya wadau hyu anaonekana mpya coz ni kam inamshnda kutumia
Hiyo bahati ipite huko tuu.Mkuu jaribu bahati yako ๐น๐น
Picha yako muhimu sana tanguliza picha na Namba yako ya simu Namba yako ni 071X XXX XXXHi guyz, Wakubwa shikamooni.
Mimi ni mgeni, naomben kujua vitu vya kuzingatia nsije nkajikuta nimepuyanga jomon .
Ndo apo sasUlishawahi kuwa na I'd zamani?
Maana mpaka ku multiple quote unajua???
Kumekucha VAR zushaingia ๐น๐น๐นUlishawahi kuwa na I'd zamani?
Maana mpaka ku multiple quote unajua???
Naunga mkono hoja ๐คฃ๐Umeisha puyanga tayari. WTF Jomon๐๐
Wewe tulia basi mpaka huku umefika aaaghMkuu jaribu bahati yako ๐น๐น
Ulishambuliwa na wanyama wakali ๐น๐น๐นHiyo bahati ipite huko tuu.
Uzoefu wangu hapa JF umenifunza mengi.
Acha uchawi basi, sijalala Mwanangu utaumia bureKumekucha VAR zushaingia ๐น๐น๐น
Karibu sana, njoo inbox nikupatie document ya vigezo na masharti ili usije ukala ban.Hi guyz, Wakubwa shikamooni.
Mimi ni mgeni, naomben kujua vitu vya kuzingatia nsije nkajikuta nimepuyanga jomon .
Hahaha jf huwaga sinaga mambo mengi mm ndo maanWewe kumbe hujaijua jf vizuri na member wake ๐น๐น๐น
JF ni kichaka chenye wanyama wakali kaa kwa password
Nasubiri na wazee wa masijala ๐น๐น๐นAcha uchawi basi, sijalala Mwanangu utaumia bure
don't take life too seriousHi guyz, Wakubwa shikamooni.
Mimi ni mgeni, naomben kujua vitu vya kuzingatia nsije nkajikuta nimepuyanga jomon .
Masihara au Masijala?Nasubiri na wazee wa masijala ๐น๐น๐น
Unaweza kwenda head on ukajua umepata dodo.Ulishambuliwa na wanyama wakali ๐น๐น๐น
Najua huwezi kusema ๐น๐น๐นHahaha jf huwaga sinaga mambo mengi mm ndo maan
Illegal fishing ๐น๐น๐นUsifungue nyuzi ovyo mapema hii, tulia uzoee jukwaa.
Ukikurupuka kuandika nyuzi saa hizi utakuja kujutia kwasababu HAZIFUTIKI.
Karibu sana mimi naitwa mshamba wewe unaitwa nani?
Tajiri wa chugaUsifungue nyuzi ovyo mapema hii, tulia uzoee jukwaa.
Ukikurupuka kuandika nyuzi saa hizi utakuja kujutia kwasababu HAZIFUTIKI.
Karibu sana mimi naitwa mshamba wewe unaitwa nani?