masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 17,376
- 19,257
Mtu akiwa kwenye hizi calls maana yake ni nini?
Anampigia nani na kunakuwa na content gani?
Anampigia nani na kunakuwa na content gani?
Maana yake anaongea na client most likely kuhusu masuala ya kiuchumi.mtu akiwa kwenye hizi calls maana yake ni nini?
anampigia nani na kunakuwa na content gani?
Google meet ipo kwenye android piaSio google meet hiyo? Ngoja watumiaji wa iphone waje
Najua hilo mkuu, ila nmesema iphone coz nimeona iOS FeaturesGoogle meet ipo kwenye android pia
mtu akiwa kwenye hizi calls maana yake ni nini?
anampigia nani na kunakuwa na content gani?
google meet sio lzm uwe na iphoneSio google meet hiyo? Ngoja watumiaji wa iphone waje
mambo ya meeting online, kama zoom,skype,mtu akiwa kwenye hizi calls maana yake ni nini?
anampigia nani na kunakuwa na content gani?
mambo ya meeting online, kama zoom,skype,
Masai dada hajalala usingizi akidhani Bwana wake kapata mcheuko🤣🤣Navyojua ni google meet video call ni kama whatsap video call
Kuhusu anampigia nani na content hii nafikiri anayejua ni aliyepiga
hahahahahaNa micheps pia...
Unamtumia link unamwambia ajoin kwa, unaongeza na dummy accounts mbili tatu akidi itimie kionekane ni kikao 😆
Agenda ya kikao: Team building Serengeti au Nairobi....dadadekiiii
Vp siangingi wa smart 911 naona mko radaAiseeeee!! Ushawahi itumia hio kitu??!!!!
Forrrrrreverrrrrrrrr and alwayssssssssssssssssssssssssssVp shangingi wa smart 911 naona mko rada
nimetafuta rafiki wa kike jf ila weng wanaringa sana sijui nifanyaje
google meet sio lzm uwe na iphone
Najua hilo mkuu, ila nmesema iphone coz nimeona iOS Features