I think sio hii yenyewe ni ya mjini sio ya kizamani
Anaua wanawake wenye nywele ndefu kwa sababu ganiI think sio hii yenyewe ni ya mjini sio ya kizamani
Kuna jamaa alileta uzi huo akisimulia kea kifupi bahati mbaya jina lake la movie likanitokaAnaua wanawake wenye nywele ndefu kwa sababu gani
Nina la hii movie inaitwaje?Hii muvi niliichukia
Huyo jamaa(Psychopath) alikua haui watu wenye nywele ndefu bali alikua yupo obsessed na utengenezaji wa pafyumu ila hakupata chansi aliyohitaji kufanya kazi zake.
Lengo lake kubwa alikua anataka ku-Extract harufu ilipo kwenye nywele za wanawake na ili apate kiwango kikubwa cha harufu/pafyumu basi inabidi atafute mwanamke mwenye nywele nzuri. Alivyo mpuuzi alikua haoni jambo analofanya sio kosa
Anaua wanawake wenye nywele ndefu kwa sababu wana nywele ndefu!Anaua wanawake wenye nywele ndefu kwa sababu gani