Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,506
- 14,364
Hello wana JF
Nimechoka kukaa Bohari Kuu Ya Madawa pale keko, naomba mnikaribishe kama mlivyowakaribisha Tablets wenzangu ili na mimi niwe mwana JF, naahidi tutashirikiana bega kwa bega katika majukwaa ya MMU, SIASA, HOJA na mengineyo...
Mkuu Katavi naomba unionyeshe pa kujistiri.
Nimechoka kukaa Bohari Kuu Ya Madawa pale keko, naomba mnikaribishe kama mlivyowakaribisha Tablets wenzangu ili na mimi niwe mwana JF, naahidi tutashirikiana bega kwa bega katika majukwaa ya MMU, SIASA, HOJA na mengineyo...
Mkuu Katavi naomba unionyeshe pa kujistiri.