Naombeni Hifadhi hapa Jamvini

Manyanza

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
9,506
14,364
Hello wana JF
Nimechoka kukaa Bohari Kuu Ya Madawa pale keko, naomba mnikaribishe kama mlivyowakaribisha Tablets wenzangu ili na mimi niwe mwana JF, naahidi tutashirikiana bega kwa bega katika majukwaa ya MMU, SIASA, HOJA na mengineyo...
Mkuu Katavi naomba unionyeshe pa kujistiri.
 
Pamoja sana! Ili uweze kuwa absorbed haraka na kuwa na high bioavailability ya dawa kwenye plasma ....tumia Beer kumezea dawa.

Karibu somo!

Mimi nitabakia mkubwa wako
 
Sawa Fellow Tablet senior nilikuwa niwe dogo wako wa ukweli lakini naona mkuu wa jamvi alikuwa anafanya makeke nisiwe Junior lakini wewe ni mkubwa wangu hilo sina ubishi nalo....
 
Karibu sana, sharia zimo na zazingatiwa.
Ukoseapo ni 'ban'
 
Karibu mkuu nahisi nina kifaduro kila nikiona sket u2livu ziro kabisa vp tiba ya uhakika ipo mkuu au niwahi tu Loliondo?
 
Karibu mkuu nahisi nina kifaduro kila nikiona sket u2livu ziro kabisa vp tiba ya uhakika ipo mkuu au niwahi tu Loliondo?

nadhani hayo ni mapepo...
a hiyo tiba inaendeshwa na maombi kuna jamaa anajiita Rev Fr Masanilo hbu cheki nae...
 
Hello wana JF
Nimechoka kukaa Bohari Kuu Ya Madawa pale keko, naomba mnikaribishe kama mlivyowakaribisha Tablets wenzangu ili na mimi niwe mwana JF, naahidi tutashirikiana bega kwa bega katika majukwaa ya MMU, SIASA, HOJA na mengineyo...
Mkuu Katavi naomba unionyeshe pa kujistiri.


Wape Kataviiiiii????

Enways i hope dawa zako zaponya... Karibu saana naona kweli wewe mwenyeji.
 
Hello wana JF
Nimechoka kukaa Bohari Kuu Ya Madawa pale keko, naomba mnikaribishe kama mlivyowakaribisha Tablets wenzangu ili na mimi niwe mwana JF, naahidi tutashirikiana bega kwa bega katika majukwaa ya MMU, SIASA, HOJA na mengineyo...
Mkuu Katavi naomba unionyeshe pa kujistiri.


Fellow Tablet 1..........karibu,KEKO hawajambo,karibu humu kuna kila kitu pamoja na KEKO yenyewe,ngoja nikuwashie kiyoyozi usije expire bure wakati tunasubiri wenyeji wengine,ila zingatia kanuni na taratibu..........................kumbuka unaweza sababisha milipuko kama ya ya mbagala
 
Fellow Tablet 1..........karibu,KEKO hawajambo,karibu humu kuna kila kitu pamoja na KEKO yenyewe,ngoja nikuwashie kiyoyozi usije expire bure wakati tunasubiri wenyeji wengine,ila zingatia kanuni na taratibu..........................kumbuka unaweza sababisha milipuko kama ya ya mbagala

asante mwenzetu, nashukuru familia yetu inakuwa kuna matablets kibao lengo letu ni kupambana na lile gonjwa linalotia hasira watu humu jamvini
 
karibu mzee wa tablet, hapa hatutoi hifadhi, tubnatoa jamvi na kukaa na kuchangia, any way karibu sana na jisikie uko home kwako. siku hizi deel kikombe mkuu, tablet hazina soko
 
Back
Top Bottom