MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,950
- 26,050
ukijipaka mafuta ya Nazi na aseline mwilin inafanyaje?
nyororo kupindukia shogaa!jaribu
ukijipaka mafuta ya Nazi na aseline mwilin inafanyaje?
kuna moja nilikuwa natumia before inaitwa nillan dah ilikuwa nzuri balaa sema huku bongo sijaiona nilinunua nairobisawa! will check on it
kuna moja nilikuwa natumia before inaitwa nillan dah ilikuwa nzuri balaa sema huku bongo sijaiona nilinunua nairobi
Ok ok. I will try itnyororo kupindukia shogaa!jaribu
Hahah umetisha shooyaani mimi bora nilale njaa ila niwe na vipodozi vyangu
Haya nitoe tongo shoo nami nivitafute vya south ngoz yangu kavu haina chunus natak ngoz inyiritike kam nimetoka kuzaliwa leo shog angu cc miss Natafutaunajua kuwa na ngozi nzuri huitaji kujichubua mi hayo mavipodozi ya congo au cote divour au china sinunui mi natumia vitu vya south africa au nigeria tu.unajua wasouth hawajichubui wanafanya tu skin toning sio bleach
Me too yalniboa nkabadl now niko zangu na mengneme ule ugumu wake ndo ulinishinda mafuta kujipaka mpaka utumie nguvu jamani, alafu sioni tofauti yoyote kwenye ngozi nikajirudia zangu kwenye Revlon
nakunywa kila siku shosti wangu mbona sifi?Ladies MBITIYAZA Miss Natafuta someone told me eti asali na tango sumu? Mpaka naogopa kutengeneza detox ya asali na tango...
Tell me something please
Ku mahali nilisikia pia wanasema...asali na limao sumu. But mimi detox yangu inakua na both na tango juu....imani tuu za watu au labda wataalamu watujuzeLadies MBITIYAZA Miss Natafuta someone told me eti asali na tango sumu? Mpaka naogopa kutengeneza detox ya asali na tango...
Tell me something please
Kama we umekunywa na hujafa Ndio mie? Kwanza kesho naweza asali mieKu mahali nilisikia pia wanasema...asali na limao sumu. But mimi detox yangu inakua na both na tango juu....imani tuu za watu au labda wataalamu watujuze
Ha ha ha h.hapo chachanakunywa kila siku shosti wangu mbona sifi?
My dear..yap yap hyo inapunguza mwili sana tu! nimeitumiaga kipind! yeah nazi kwangu sikosi usk najikandika nazi na mix na vaseline! safi mnoo! .. sema nimekuwa na mba za nywele sijui kumix mix mafuta? ah... nna nywele ndef ila View attachment 568722 mbaa
Weka mamie..mie ndo kinywaji pendwaKama we umekunywa na hujafa Ndio mie? Kwanza kesho naweza asali mie
Mi nilipata ile ya mwanzooo ngozi ilikuwa soft balaaa yalinikubali kweli ila sasaa baada ya hapo ikawa majangaaa nika achana nayoSasa hivi kuna watu washachakachua, queen elizabeth ile ya mwanzoni ndio ilikua nzuri..yaani ilikua ukipaka unapendeza balaa ila hii ya sasa hata utumie vipi huoni mabadiliko yoyote kwenye ngozi
Ninetumia sana radiant ila tatizo siku hizi fake zimekuwa nyingi nika achana nayo. Uzur sina mba so natumia Dax au blue magic kwa nyweletumia radiant ipo fasta kumaliza