Naombeni chimbo la pumba Dar

Naombeni chimbo la pumba Dar

😁 namaanisha chakula cha mifugo mkuu
Kwani maneno ya mtu kama yule jamaa anajiita Ngawila sijui mifuko si inashiba kabisa?

Any way! Pumba naamin masoko ya nafaka nyingi tu kama tandika, mbagala, Tandale. Inshort no formula! Utachukua pumba mbali kwa nafuu ya buku au jero ambayo utairudisha kwenye usafirishaji. Do site inspection around your enviroment
 
Back
Top Bottom