Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,107
- 55,524
- Thread starter
- #41
Inabidi urudi chuo uongeze ujasiriKaka mimi kazi nazikimbia bwashee 😅
Inabidi urudi chuo uongeze ujasiriKaka mimi kazi nazikimbia bwashee 😅
kuna fani nyingi sana zinatolewa hapa chuoni, nikuchukulie fomu ya fani ipi?Ukipona uchizi tutakumiss 😹😹
Juzi niliachana na kazi kwa kushindwa vigezo vyangu vya kuwa na simu huku napiga kazi bwashee 😅😅😅 ngoja tulewe tu🤣Inabidi urudi chuo uongeze ujasiri
Mkuu, hutaki nisome kimtandao 'online' au unanionea wivu?Vinajana tunao wategemea katika ujenzi wa Taifa ndio hawa
kumbe nauri kiduchu tu yan afu kumi na tano.Ina umbali wa kilojibi tano tu
ngoja nikaze buti kutafuta elimu ujuzikumbe nauri kiduchu tu yan afu kumi na tano.
Pia mim camera man, ukipata chet naphotoa
Mjomba hata ndege za usiku hupati ajira labda utie buku ukarushe aviatorWiki ijayo nitaanza mafunzo ya urubani wa ndege kwa muda wa miezi miwili katika chuo cha YouTube.
Baada ya hiyo miwezi miwili, nitakuwa nimehitimu vizuri.
Kwa hiyo ndugu zangu, wale wote wanaomiliki ndege, naombeni mnipatie ajira, maisha ni magumu mtaani.
Kwa hiyo unakidharau chuo cha YouTube?Mjomba hata ndege za usiku hupati ajira labda utie buku ukarushe aviator
Ya Gwajima imepaki tuu Wanatafuta rubani. Wahi pale Ufufuo na uzima.Wiki ijayo nitaanza mafunzo ya urubani wa ndege kwa muda wa miezi miwili katika chuo cha YouTube.
Baada ya hiyo miwezi miwili, nitakuwa nimehitimu vizuri.
Kwa hiyo ndugu zangu, wale wote wanaomiliki ndege, naombeni mnipatie ajira, maisha ni magumu mtaani.
Nikienda huko nitakuwa sio mzalendo kwa nchi yangu
Tatizo litakuwa ni nini, vibali au?Ya Gwajima imepaki tuu Wanatafuta rubani. Wahi pale Ufufuo na uzima.
Hapa hawaamini youtube, wanaamini VETA...Nikienda huko nitakuwa sio mzalendo kwa nchi yangu
Khira la kheri mkuungoja nikaze buti kutafuta elimu ujuzi