klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
sasa huu ni ushauri au?huyu ndio wale wakuvaa mashati ya kung'aa yenye maua kibao. Akitembee nyuki wanamfata.
Ameniboa sana,
yaani huyu angekuwa karibu,.....aaaagggr!
Nashindwa kumalizia, hasira zimezidi.
hebu njoo unichune bana nimeshinda ka lotto ka laki tano, ukichelewa namalizana na lizzy.