FredKavishe
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,090
- 318
Mimi ni msichana wa miaka 28!nimekua na mahusiano na mkaka mwaka sasa na hapa nilipo ninaujauzito wake wa miez 9.tatizo ni kwamba jamaa alikua anasumbua sana swala la kuwaambia wazaz wake kuja kwe2 kujitambulisha,nikatumia nguvu atimae wakaja na mahari wametoa!sasa cha ajabu mchumba wangu huyu aniudumii kwa chochote,alisema atanunua pete anivalishe kimya mpaka sasa ukimwambia hakosi sababu mara hana pesa,na hela najua anayo japo c nying,namwambia basi ata cku 1 toa ata hela ya clinic japo elf 10 nayo tatizo!ananichosha sana yan yy anataka 2 mm ndio niwe nampa hela.naomben ushaur nimuache 2baki kuwa 2mezaa tu ila nisifunge nae ndoa?mana wazaz walisema kwetu kwamba harusi ni november mwaka huu.nachanganyikiwa sielew nifanyaje?