FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,823
- 109,109
Muwache zinaa na kukandamizwa kabla ya ndoa. Wewe mtu hajaji-commit (ndoa) unaenda kumfungulia.
Kwani ulikuwa hujui matokeo yatakuwa nini? Na msome, mfanye kazi, msitegemee wanaume kuwahudumia. Hizo zilikuwa enzi zetu. Sasa hivi mambo ya usawa, hakuna kutegemeana.
Umebeba mimba kwa kupenda mwenyewe, na ukapime na ukimwi, kama hujaubeba ni salama yako. Sasa unataka ushauri wa nini? Lea mimba na ulee na mtoto. Babake akihudumia asihudumie ni wewe ulietakiwa kujichunga ni wewe unaebeba mimba.
Kila siku tunasikia kwenye ma tv, ma redio na tunaona yaliyowakuta wengine bado hatuelewi tu? Kuwa ngono bila kinga ni hatari, tena hasa nyinyi vijana ambao hamjaolewa, inabidi mjichunge sana.
Kwa sasa, maji yameshamwaika, hayazoleki.
Huo ndio ukweli.
Kwani ulikuwa hujui matokeo yatakuwa nini? Na msome, mfanye kazi, msitegemee wanaume kuwahudumia. Hizo zilikuwa enzi zetu. Sasa hivi mambo ya usawa, hakuna kutegemeana.
Umebeba mimba kwa kupenda mwenyewe, na ukapime na ukimwi, kama hujaubeba ni salama yako. Sasa unataka ushauri wa nini? Lea mimba na ulee na mtoto. Babake akihudumia asihudumie ni wewe ulietakiwa kujichunga ni wewe unaebeba mimba.
Kila siku tunasikia kwenye ma tv, ma redio na tunaona yaliyowakuta wengine bado hatuelewi tu? Kuwa ngono bila kinga ni hatari, tena hasa nyinyi vijana ambao hamjaolewa, inabidi mjichunge sana.
Kwa sasa, maji yameshamwaika, hayazoleki.
Huo ndio ukweli.