Bintiwangara
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 551
- 287
Huu ni mfuko ulioanzishwa na serikali kwa nia ya kulipa fidia wafanyakazi wote watakaopata kuumia eneo la kazi, waajiri wote binafisi wanachangia asilimia 1 ya mapato ya mfanyakazi kwa mwaka mzima ila kwa watumishi wa umma wanachangiwa 0.5
kama hajawahi kuumia Mpaka anastaff, je atalipwa chochote? Au ndiyo pesa imeshakwenda?
huu ni mfuko wa malipo kwa watu walio umia kazini au amepata madhara ya kiafya yeyote yanayotokona na kazi anayofanya. just in short.View attachment 257903
jamani ,nini maana ya workers compastion fund? Je hii ni faida kwa nani,Mfanyakazi au nani ,Naombeni ufafanuzi.
kwa Taarifa zaidi. soma attachment above.
huu ni mfuko wa malipo kwa watu walio umia kazini au amepata madhara ya kiafya yeyote yanayotokona na kazi anayofanya. just in short.
Ni kama bima tu. Kama hujawahi kupatwa na janga lolote basi huwezi kufaidika nao kabisa. Hii sio pesa ya pensheni, ni ya tahadhari ya majanga yanayoweza kutokea ukiwa kazini.kama hajawahi kuumia Mpaka anastaff, je atalipwa chochote? Au ndiyo pesa imeshakwenda?
Malipo yao yakoje??Huu ni mfuko ulioanzishwa na serikali kwa nia ya kulipa fidia wafanyakazi wote watakaopata kuumia eneo la kazi, waajiri wote binafisi wanachangia asilimia 1 ya mapato ya mfanyakazi kwa mwaka mzima ila kwa watumishi wa umma wanachangiwa 0.5
Lakini haukatwi kwenye mshahara wako, hayo malipo au asilimia ni muajiriwa wako ni lazima akulipie,, na ndio maana ukistaafu au ukiacha kazi haulipwi chochote coz sio wewe uliyechangia bali ni mwajiri wako
Je ni kweli inalipwa au unazungushwa kama pensheni?Lakini haukatwi kwenye mshahara wako, hayo malipo au asilimia ni muajiriwa wako ni lazima akulipie,, na ndio maana ukistaafu au ukiacha kazi haulipwi chochote coz sio wewe uliyechangia bali ni mwajiri wako
Ni faida kwa mfanyakazi, fidia akiumia kaziniTusaidiane Jamani UFAFANUZI JUU ya DOCUMENT HAPO JUU