Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
...mgao wa umeme uwe saa moja mara moja kwa wiki. Kusiwe na madawa hospitali hata haya yasiyotosha sasa yawe machache zaidi, waalimu na manesi wapigike zaidi na wakulima wapigike zaidi. Labda hapo ndipo wenye imani bado na magamba watatia akili