Naomba yatokee haya Tanzania...

Mtoboasiri

JF-Expert Member
Aug 6, 2009
5,101
1,946
...mgao wa umeme uwe saa moja mara moja kwa wiki. Kusiwe na madawa hospitali hata haya yasiyotosha sasa yawe machache zaidi, waalimu na manesi wapigike zaidi na wakulima wapigike zaidi. Labda hapo ndipo wenye imani bado na magamba watatia akili
 
halafu police waishiwe viatu hadi wavae kandambili,wabunge wawe wanakusanywa kweenda bungeni kwa maroli yale yanaobeba wafungwa,matokeo ya mitihani wote wapate zero,Tanzania isiwe na ndege hata hiyo ya rais iuzwe kwa tsh laki 5,wale wanaobomolewa nyumba kwa shughuli mbali mbali wasipewe hata sh 10,wazee w asipewe pensheni hata sh 10,bandari ya dar es salaam wawape barrick waiendeshe,bidhaa ikivuka mkoa ilipiwe kodi kama ilivyo zanzibar na tanganyika.hapo ndo watu watatia akili.mia
 
........ikulu iwe guest watu wazini mpaka kwenye bustani, bunge liamie mtaa wa kongo, spika awe mpiga debe
naunga hoja mkono
 
Hafalu baada ya hayo yote Mi ningependa Wakoloni warudi ila wasiwe Waingereza wawe Wamarekani. Mi naona tungetia AKILI.
 
mafisadi waongezeke, kila sehemu ukienda utoe rushwa ndio uhudumie...wezi wawe wengi, wafungwa watoroke, waliosingiziwa kesi walipize kisasi hapo kidogo wananchi watazinduka...
 
Tuache yote tuanze upya. Vyama vipya, viongozi wapya na uhuru mpya na nchi mpya kisha tubadili jina la nchi na muungano ufe na eac ife. Hapo tutaona maisha katika mwanga bora. Maoni yangu. Naomba kuwakilisha.
 
...mgao wa umeme uwe saa moja mara moja kwa wiki. Kusiwe na madawa hospitali hata haya yasiyotosha sasa yawe machache zaidi, waalimu na manesi wapigike zaidi na wakulima wapigike zaidi. Labda hapo ndipo wenye imani bado na magamba watatia akili

Ushindwe na ulegee!
 
Hapo ndipo wananchi wenye hasira tutaingia barabarani breki ya kwanza pale Magogoni kutangaza utawala mpya wa peoples powerrrrrr, Halafu mafisadi wote tunawafungulia kesi pale kisutu!!!!!
 
Mimi naomba uchunguzi unafanywa sasa hivi kuhus Jairo waseme 'hakufanya kosa' na arudhishwe kazini hata kama atapewa idara/wizara nyingine. It will be good for the country!
 
Maisha ya Sudan hasa Darful na Somalia mnayapenda,iko siku kama sio nyinyi vizazi vyenu vitayakumba na kujutia kauli zenu.Dawa sikikosekana Hospitalini atakae kufa ni mtoto wako,baba yako,mama yako,mkeo pengine na wewe.

Binadamu haridhiki,hata huko peponi watakao bahatika kufika watahoji juu ya yale watakayopewa peponi..kwa maana ya kutoridhika.

Nashauri tuombe mabadiliko katika Nchi yetu yasiyo na mabaya ya kutumaliza hata sisi tunaohitaji mabadiliko na Vizazi vyetu.Yote mnayoomba hayatabadili kitu kama yakitokea zaidi ya kutuangamiza.Hasira ya Watanzania kutaka mabadiliko kamwe haiwezi kutokana na njaa kali au umeme pekee bali nia ya dhati ya ''need for change'' of either people/leaders or the rulling party in general.
 
...mgao wa umeme uwe saa moja mara moja kwa wiki. Kusiwe na madawa hospitali hata haya yasiyotosha sasa yawe machache zaidi, waalimu na manesi wapigike zaidi na wakulima wapigike zaidi. Labda hapo ndipo wenye imani bado na magamba watatia akili

mkuu umesema ambacho hua nataka kusema kila siku ila nasita,...
kiukweli ni kauli ambayo mtu anaweza kudhani wewe sio mtanzania,ila binafsi naomba
tupate gharika kali kweli kweli,ndipo watanzania tutakua na upendo!

Hatuna upendo ule tulio ambiwa tupendane,leo hii mtanzania nyumba ile anaweza kua analala njaa
lakini jirani yake anampikia mbwa chakula maalum,jirani anaumwa lakini hasaidiwi na jirani yake,...

mtoto wa jirani anaweza hata kuingia kwenye moto lakini jirani mwingine akakimbia kwenda kuchungulia
dirishani kama ataungua ili aanze kupiga kelele,...

wengine wanalia maisha magumu,wengine wanawaita "wavivu nyie",....
natamani,natamani kweli kweli,
1.petrol,diesel,mafuta ya taa viwe 10,000/= @ lita
2.chakula kipande bei mara mia zaidi,
3.magonjwa yatokee

na mengine mengi,naimani kabisa kabisa kabisa,haya yakitokea yatatuunganisha watanzania
na tutapendana,tunahitaji kitu kimoja cha kutuunganisha wote,nacho ni DHIKI KUU,....

lakini,mapenzi ya Mungu na yatimizwe
 
...mgao wa umeme uwe saa moja mara moja kwa wiki. Kusiwe na madawa hospitali hata haya yasiyotosha sasa yawe machache zaidi, waalimu na manesi wapigike zaidi na wakulima wapigike zaidi. Labda hapo ndipo wenye imani bado na magamba watatia akili
kweli we umetoboa kila kitu..
 
halafu police waishiwe viatu hadi wavae kandambili,wabunge wawe wanakusanywa kweenda bungeni kwa maroli yale yanaobeba wafungwa,matokeo ya mitihani wote wapate zero,Tanzania isiwe na ndege hata hiyo ya rais iuzwe kwa tsh laki 5,wale wanaobomolewa nyumba kwa shughuli mbali mbali wasipewe hata sh 10,wazee w asipewe pensheni hata sh 10,bandari ya dar es salaam wawape barrick waiendeshe,bidhaa ikivuka mkoa ilipiwe kodi kama ilivyo zanzibar na tanganyika.hapo ndo watu watatia akili.mia
mia.................
 
I' m sorry , leo sikupanga kucomment chochote humu ndani " HIVI NINYI LEO MUMEWAZA NINI ???? TUJULISHENI " !!!!!!!!!!! P/se
 
mkuu umesema ambacho hua nataka kusema kila siku ila nasita,...kiukweli ni kauli ambayo mtu anaweza kudhani wewe sio mtanzania,ila binafsi naombatupate gharika kali kweli kweli,ndipo watanzania tutakua na upendo!Hatuna upendo ule tulio ambiwa tupendane,leo hii mtanzania nyumba ile anaweza kua analala njaalakini jirani yake anampikia mbwa chakula maalum,jirani anaumwa lakini hasaidiwi na jirani yake,...mtoto wa jirani anaweza hata kuingia kwenye moto lakini jirani mwingine akakimbia kwenda kuchunguliadirishani kama ataungua ili aanze kupiga kelele,...wengine wanalia maisha magumu,wengine wanawaita "wavivu nyie",....natamani,natamani kweli kweli,1.petrol,diesel,mafuta ya taa viwe 10,000/= @ lita2.chakula kipande bei mara mia zaidi,3.magonjwa yatokeena mengine mengi,naimani kabisa kabisa kabisa,haya yakitokea yatatuunganisha watanzaniana tutapendana,tunahitaji kitu kimoja cha kutuunganisha wote,nacho ni DHIKI KUU,....lakini,mapenzi ya Mungu na yatimizwe
Ameni!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom