Voiced Voice
JF-Expert Member
- Feb 1, 2018
- 248
- 249
Ukifuatilia kesi nyingi za serikali ambazo ama zinatupwa au serikali inashindwa utagundua kuwa sababu kuu ni ama kesi kufunguliwa kwa kifungu kisichohusika badala ya kifungu xy inafunguliwa kwa kifungu zf au kwa sheria isiyokuwepo au isiyotumika tena.
Zamani nilijua idara za serikali zinajaa wabobezi ma wajuzi tena wanakua wengi. Hivi inakuwaje mpaka waendesha mastaka na mawakili wa serikali kufungua kesi kwa vifungu vilivyokosewa?
Inatokea nini mpaka wanatumia kifungu kisichokuwepo kabisaa au kilihuishwa? Hivi kwenye sheria kuna siri ambazo huwezi kuzijua mpaka ufike mahakamani hata kama umebobea kwenye sheria?
Nilitegemea kushindwa kesi kuambatane na kushindwa kutoa ushahidi unaojitosheleza au kukosa ushahidi kabisa. Hii ya kufungua kesi kimakosa sijaielewa bado.
Je hawajui? wanakurupuka? hawajabobea? au kuna kitu sheria inacho wengine hatukijui?
Msaada tafadhari
Zamani nilijua idara za serikali zinajaa wabobezi ma wajuzi tena wanakua wengi. Hivi inakuwaje mpaka waendesha mastaka na mawakili wa serikali kufungua kesi kwa vifungu vilivyokosewa?
Inatokea nini mpaka wanatumia kifungu kisichokuwepo kabisaa au kilihuishwa? Hivi kwenye sheria kuna siri ambazo huwezi kuzijua mpaka ufike mahakamani hata kama umebobea kwenye sheria?
Nilitegemea kushindwa kesi kuambatane na kushindwa kutoa ushahidi unaojitosheleza au kukosa ushahidi kabisa. Hii ya kufungua kesi kimakosa sijaielewa bado.
Je hawajui? wanakurupuka? hawajabobea? au kuna kitu sheria inacho wengine hatukijui?
Msaada tafadhari