Asee mkuu umenena sana, hebu huyu ndg ajaribu kutembea maeneo mengine ya tz aweze kujionea fursa ktk maeneo hayo...hebu akuje huku kwa wanywesha mbuzi soda.Man, Tanzania kubwa ungeanza na kujiallocate mikoa ambayo haujawahi ishi na hauna ndugu.
Hahahahah kwamba wote wana Bonzemba A.K.A Kishundu.raha sana kaka.Mkuu nina mwaka wa 6 hapa Uganda, kifupi maisha ya huku mazuri ilimradi tu uweze kujishughulisha hela inaonekana, alafu nimeona comment ya member mmoja hapo juu kwamba mademu wa huku sura ngumu kitu ambacho sio kweli, mademu wa huku wazuri wapo wengi tu na kinachonifurahisha zaidi ni kwamba mademu wa huku hakuna asiye na msambwanda ni kama wanarithishana kila mtu anao ..
Naunga mkono hoja mzee wangu... Nilitembelea Kampala 2018 japo sikuzunguka sana ila maeneo niliyopita macho yalisuuzikaMkuu nina mwaka wa 6 hapa Uganda, kifupi maisha ya huku mazuri ilimradi tu uweze kujishughulisha hela inaonekana, alafu nimeona comment ya member mmoja hapo juu kwamba mademu wa huku sura ngumu kitu ambacho sio kweli, mademu wa huku wazuri wapo wengi tu na kinachonifurahisha zaidi ni kwamba mademu wa huku hakuna asiye na msambwanda ni kama wanarithishana kila mtu anao ..
Mkuu baki huko huko kwa ushauri wangu, japo Tz tatizo kubwa ni Jiwe lakini bado kuna unafuu na usalama wa kutosha. Epuka sana kuishi ugenini.Kwa kifupi Maisha ya hapa nyumbani yamenichosha nataka kujirelocate sehemu nyingine kama Uganda vile lakini nataka kufahamu kidogo kutoka kwa maxpart wa nchii hii. Gharama zikoje hasa za room za kuishi.
Watu wanapenda sana story za vijiweni ikiwa wenyewe hawajawahi kufika sehemu husika ..Naunga mkono hoja mzee wangu... Nilitembelea Kampala 2018 japo sikuzunguka sana ila maeneo niliyopita macho yalisuuzika
Mkuu baki huko huko kwa ushauri wangu, japo Tz tatizo kubwa ni Jiwe lakini bado kuna unafuu na usalama wa kutosha. Epuka sana kuishi ugenini.
Nyankole from mbarara, acha buana si mchezo, anyway wengi wanaoiponda Ug labda hawajafika au wameishi kwa muda mfupi.Mkuu nina mwaka wa 6 hapa Uganda, kifupi maisha ya huku mazuri ilimradi tu uweze kujishughulisha hela inaonekana, alafu nimeona comment ya member mmoja hapo juu kwamba mademu wa huku sura ngumu kitu ambacho sio kweli, mademu wa huku wazuri wapo wengi tu na kinachonifurahisha zaidi ni kwamba mademu wa huku hakuna asiye na msambwanda ni kama wanarithishana kila mtu anao ..
Nimekusoma Mzee baba, mara ya kwanza nafika Kampala nilikua nashangaa misambwanda tu, Niko Mukono hapa nacheki totozi za UCUMkuu nina mwaka wa 6 hapa Uganda, kifupi maisha ya huku mazuri ilimradi tu uweze kujishughulisha hela inaonekana, alafu nimeona comment ya member mmoja hapo juu kwamba mademu wa huku sura ngumu kitu ambacho sio kweli, mademu wa huku wazuri wapo wengi tu na kinachonifurahisha zaidi ni kwamba mademu wa huku hakuna asiye na msambwanda ni kama wanarithishana kila mtu anao ..
Nilipata ishi hapo Banda, nikaishi Wandegeya na mwisho nikawa kyengela.Nimekusoma Mzee baba, mara ya kwanza nafika Kampala nilikua nashangaa misambwanda tu, Niko Mukono hapa nacheki totozi za UCU
Hahaha mkuu sijawahi ata kupamiss bongo naona bora nitulie tu kwa mzee wetu museveni ..Nimekusoma Mzee baba, mara ya kwanza nafika Kampala nilikua nashangaa misambwanda tu, Niko Mukono hapa nacheki totozi za UCU
Ndo hivyo mkuu, Uganda kuna pisi za haja ila wanaoponda hawajawahi kuishi hapa ..Nyankole from mbarara, acha buana si mchezo, anyway wengi wanaoiponda Ug labda hawajafika au wameishi kwa muda mfupi.