adakiss23
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 4,896
- 5,260
Kenya maisha tight sana ndugu. Sana sana. Kwanza mtanzania kupata kazi rasmi ofisini unless uwe exceptional sana. Mtaani ndo kugumu hatari. Kule kupata 1000ksh (ngiri moja ni shughuli). Pia usalama ni shida. Ukirudi nyumbani salama unashukuru Mungu. Mavijanaa wengi hawana kazi kupora kuiba kwa kuvunja ni jambo la kawaida. Chilia mbali polisi ni wezi wengine watakuwinda kila kona esp usiku.Nadhani Kenya ni poa sana hata kumbandika mtu mzigo kichwani ni hela, watu wengi wana husle hakuna kujuana sana uwe na talent umetoboa, hata ukusanye watu uwahubirie ni poa tu unakula mkwanja.
Naijua Kenya kiasi labda ukaishi kwa ushuani ambako rent ya appartment ni zaidi ya 10k ksh kwa mwezi chumba kimoja tu seft contained. Ukiishi mtaa wa kawaida kubali kukutana ma vibaka kila time cz kule hakuna time ya kukabana unakabwa muda wowote.
Sent from my PBAT00 using JamiiForums mobile app

