Binafsi naona ili uwe na UCHUNGU na kazi yako ya kilimo, usitafute urahisi. Tumia nguvu, pambana kupanda bila mashine ili upate hasira
Miaka kadhaa iliyopita Kuna rafiki yangu alinunua hii mashine, japo sio hii brand.Ok,vipi wakati wa kupanda wanahitajika watu wangapi?
Safi wewe ni Mwl. mzuri sana. Sina swali.Miaka kadhaa iliyopita Kuna rafiki yangu alinunua hii mashine, japo sio hii brand.
Mashine ni delicate.
Ni rahisi kutumia
Unaisukuma kwenda mbele hivyo vitu kama vibomba vinachimba na kupanda mbegu.
Ina vi disc mbalimbali vya kukadilia ukubwa wa mbegu... Kuna disc ya kupandia mahindi, maharage n.k. hivyo unaweza kupandia mazao aina tofauti
Vibomba vya kupandia vinakuwa vimewekwa kwa urefu Fulani kutoka kimoja mpaka kingine let say 30 cm ukitaka kupanda spacing ya 60cm unafunga kibomba kimoja Kati ya viwili n.k.
Unahitaji ardhi laini mfano iliyopigwa harrow ili kuweza kutumia hiyo mashine
.
.
.
mtu mmoja anaweza ku operate bila shida hii mashine
Mkuu uliinunua wapi na kwa bei gani?Ni mashine nzuri kwenye suala Zima la upandaji. Kwa Mimi ninayo na nimeitumia kupanda mahindi na alizeti na mazao yanaendelea vizuri
Mkuu uliinunua wapi na kwa bei gani?