RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,759
- 107,941
Wana JF wenzangu naomba ushauri kuhusu miji hii MWANZA,DODOMA,ARUSHA
Ushauri huu uzingatie maisha kiujumla i.e gharama za maisha,huduma(maji/umeme/barabara) msongamano na upatikanaji wa kazi na biashara katika miji hii.
Nilizaliwa na kukulia DSM lakini DSM niliyoiacha sio niliyoikuta na kwa kweli maisha yake kwa jumla naona yamebadilika sana.
Naomba wanaJF wanaoishi au walio na uzoefu wowote na miji niliyoitaja wanisaidie
ASANTENI.
Ushauri huu uzingatie maisha kiujumla i.e gharama za maisha,huduma(maji/umeme/barabara) msongamano na upatikanaji wa kazi na biashara katika miji hii.
Nilizaliwa na kukulia DSM lakini DSM niliyoiacha sio niliyoikuta na kwa kweli maisha yake kwa jumla naona yamebadilika sana.
Naomba wanaJF wanaoishi au walio na uzoefu wowote na miji niliyoitaja wanisaidie
ASANTENI.