Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
Kuchanganyikiwa kupo, tena sana tu.............. ila hapa la maana ni kulia sana, ukinyamaza sali sana umwombe Mungu akuonyeshe njia.Asante kwa ushauri,kiukweli nimechanganyikiwa.
Huwa nikiwa na jambo la kunitatanisha kulia kunanisaidia sana kuniweka sawa, kuniondolea hasira..... yaani nisipolia hata kusali siwezi. nikishanyamaza sasa ni busara tupu, ha haaaaaaaaaaaaa.
Pole mwaya