Naomba ushauri

Naomba ushauri

Hayo maswali unayojiuliza ni maswali gani,...kama anakupenda? ana ugonjwa wa kuambukiza au nini? hujasema
 
Ipo hivi nikiwa nataka kushiriki mapenzi maswali huwa yanakuwa mengi mpaka hamu inapotea kabisa

Lakini kabla sija shiriki uku kwenye simu au nikiwa nae karibu na kuwa na feeling nyingi sana mbaya mpaka naona siku inachelewa kufika

Ila siku ikifika hisia sina tena na huyo mtu zaidi naishia kukataa akinilazimisha nikisha fanya nae na mchukia nifanye nini?

Na mimi napenda mapenzi
fanya hivii,

usiyawaze mapenzi wala usiyazungumzie sana kwenye simu au chats... siku ukiwa na hamu muite mpenzi wako kwa kumstukiza akifika story zisiwe nyingi ni kumrukia tu na akiwepo karibu yako usiwaze sana wewe anza kumvamia na touch za hapa na pale unazama mchezoni
 
Kwa ulivyoandika na jina ulilojipa ni wazi unaongelea mapenzi ya jinsia moja.Neno "mtu' usingelitumia kama ungekua unaongelea mwanamke.

Anakulazimisha basha wako.
Hisia zinakata sbb deep down unajua kabisa unachofanya si sahihi na bado hujawa mzoefu.

Ukifikiria namna mama/baba/ndugu zako wataumia siku wakijua unafanywa lazima hisia zikate.

Hopefully siko sahihi na kama niko sahihi basi hiyo hali ya kujisikia kumchukia huyo mtu ni Mungu anajaribu kukutoa huko na itafurahisha kama utatoka huko kabla wazazi wako hawajajua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom