naomba ushauri

naomba ushauri

sasha itelewe

Member
Joined
Aug 30, 2013
Posts
81
Reaction score
78
mtoto wangu ana ufaulu wa EDD,PCM ni msichana .round ya kwanza tulijaribu ardhi,udom,mzumbe na udsm kwa course za information system ,bcom (udsm na building economy ardhi tumekosa zote.tumejaribu second round kuona uwezekano.je asipofanikiwa naweza jaribu course zipi tena na vyuo gani.ukizingatia watu wa pcm hawana sana vyuo binafsi,naomba ushauri nachanganyikiwa form four alipata one ya 12
 
Usichanganyikiwe mama mkwe wangu,
Upo jukwaa la elimu hapa akiharibiki kitu..
Cha msingi achague kozi anazozipenda yeye sio unazozipenda wewe labda kama kuna connection ya uhakika baada ya kuhitimu chuo
 
Bachelor of science with education,

Huo ni ualimu wa masomo ya sayansi, hawez kosa chuo,


Kama hapend ualimu basi, ajiandae
 
Skuizi watoto wanafaulu sana kidato cha sita,ni maendeleo mazuri.

Miaka 7 mpka 12 iliyopita hapo ardhi Mtu mwenye 3:15 anachukuliwa Course Nzuri kabisa.
 
Anaweza akajaribu SUA kuna program za engineering aangalie ipi inaweza kumfaa. Mambo ya information systems kuna vyuo vya binafsi anaweza akapata. Uwe na TCU admission guide uipitie kwa umakini sana unaweza ukagundua vyuo vtenye program za kuridhisha.
 
Kama home mpunga upo, mpeleke advance diploma kwa point zake na ufahulu wa siku hizi kupata hizo programme unazotaka kwa ngazi ya degree ni kama bahati nasibu ni bora uangalie dirisha la NACTE kabla halijafungwa
 
Sokeine University of Agriculture (SUA)

1: Bachelor of agricultural engineering
2: Bachelor of water and irrigation engineering
 
Vipi kuhusu Diploma ya Ufamasia au Mionzi ?Wakati mwingine ni vizuri kuwa na elimu ndogo ila yenye manufaa kuliko kubwa ambayo haina uhakika

Mnaweza pia kuliweka miongoni mwa options zenu mkajadili zaidi mama yangu.
 
Vipi kuhusu Diploma ya Ufamasia au Mionzi ?Wakati mwingine ni vizuri kuwa na elimu ndogo ila yenye manufaa kuliko kubwa ambayo haina uhakika

Mnaweza pia kuliweka miongoni mwa options zenu mkajadili zaidi mama yangu.
Ufamasi, biology Hamna sasa hapo mzee
 
Back
Top Bottom