Kbd
JF-Expert Member
- Oct 9, 2009
- 1,260
- 447
- Thread starter
- #21
Mapenzi ni kitu cha ajabu sana unaweza kumsaidia huyo mama kila kitu den siku ya kesi akakugeuka na kusema wewe ndo ulimshawishi kufanya hivyo ila bado mume wake anampenda sana utatatamani ardhi ipasuke uingie maana huyo baba kibano kitakugeukia. unaweza kumpa tu ushauri afanye mwenyewe au kumuonyesha njia nina mfano hai ndo maana nimesema hivyo.
Yaani kwa kweli saa nyingine mapenzi ni kizungumkuti. Nitajaribu kumshauri nione reaction yake kwanza.