Naomba ushauri

Naomba ushauri

badali

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2017
Posts
212
Reaction score
81
Kuna chuo niliomba toka 1st round na jina langu limekuja katika yale selected but not approved mpaka sasa.
Na nikaomba tena chuo chengine katika 2nd round ila nikakosa. Je naweza kuomba tena katika 3rd round hiki chuo nilichokosa 2nd round au nisiombe nisubiri hiki chuo cha first round watatue tatizo lililokuwepo?
 
mkuu ilo tatizo ata mm nimelipata,mala 1 st round lilikuja iv ila nikaomba 2nd round nimepata pia sasa sijui nifanyaje.
 
Back
Top Bottom