Naomba ushauri wenu

Naomba ushauri wenu

Jitambue na kujidhanini na kujua nn unafanya na nn umhimu wako kwa mwenzio pia sala ndio kila kitu
 
aiseee kwa hiyo mpaka umri huo hujawahi kugonga?!
au ndio nyie mnaogongana kwa wahaya?!
 
sumbai Yani we binti yangu ndo unataka kumsukuma kwa huyo fake pastor
 
Last edited by a moderator:
Mkabidhi kwa baba mungu, fanya maombi na sala kuhusu huyo unaetaka kumpenda.

Ili mungu akupe kibali,

Kibali cha mungu ndo kila kitu, sometime hauta hata mtongoza anaeza kuja mwenyeww.

Note that, sio kwa ajil ya kumchezea, ila ndoa

"kuchezeana"
 
Kama unamtaka kama mke,Mke mwema anatoka kwa Mungu tu,Mwombe Mungu akupe yule aliyemkusudia kwajili yako wakati huo nawewe ukiwa mvumilivu na mwaminifu.

Mungu hajawahi kushindwa wala kuahidi uongo,yeye ni mwaminifu.
 
Haaaa mbona uzi umegeuka kuwa majadiliano ya watu?Mods futa hii hajatendewa haki mleta uzi.
 
Kama unaogopa kuongea nae tumia body language mkonyeze
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom