Naomba ushauri wenu

Baba ako ni mbongo au mkanada?
Kama ni mbongo mjengee huku nyumbani, then umrudishe na kama unaweza mfungulie biashara na atafute mke aoe, miaka 46 ni michache sana kwa mwanaume mwenye akili timamu kutangatanga kwenye familia za watu, labda awe ni mgonjwa na hawezi kuishi bila ww karibu.
 
Huwezi kunielewa hata ungekuwa mtakatifu husingeweza kuishi naye hata kidogo

Kama umesoma historia vizuri toka tuko afrika alikuwa ni mtu wa wanawake tu hakujali watoto wake wanakula sisi most of our life uko afrika yalibebwa na mama yetu
Tulivyofika uku canada 2017 tukafikiri atageuka tena bado akaendelea na tabia yake ya kijinga kama 2017 alitengeneza fix kuwa ameshika mama na wanaume wengine ili tu apate sababu za kuachana na mama na moja kati ya lengo lake lilikuwa mama afukuzwe ndani ya nyumba ndo maana alienda kustaki kuomba haki ya uongo kwa bahati mbaya polisi walifanya uchunguzi wao wakagundua ni fix tu akafukuzwa yeye nyumbani japo kuwa watu wengi walimshauria pamoja mama yake kipindi bado yupo hai hakusikia mtu yeyote kitendo icho kilimpeleka mpaka marehemu bibi kupoteza maisha kwa presha kutokana na tabia ya mwanaye wa pekee
Alifanikiwa kutoka akaenda kuoa mwanamke mwingine uko waliishi na uyo mwanamke toka 2017 mpaka 2021 wakaachana na toka 2022 mpaka leo amekuwa mtu wa kuangaika angaika tu watu walijaribu kumuombea msamaha kwa mama labda anaweza kurudi home mama alikataa nina wadogo wangu ambaye yupo nyuma yangu ana nyumba naye alikataa kabisa kumpokea mimi kama first born wake niliona nichukuwe mzigo nao imeanza kunishida
 
Tuanze kwanza, mama aliyetalikiwa na baba mwaka 2017 yuko wapi kwa sasa?,kingine una uhakika huyo ndio baba yako kweli?
Mama yupo nyumbani hajaolewa baba ni mtu wa fix sana anafanyaga mambo kama hana akili sana yeye alikuwa ni mtu wa mademu mara nyimgi wanaume sisi tukiwa na michepuko yetu hatuwezi kudharau mke wa kwanza au wetu kwasababu ya mchepuko sasa ni tofauti kabisa akiwa na mchepuko anapenda kuoa kabisa na moja ya kikwazo chake alikuwa anaona ni mama alikuwa kama kipindi tupo afrika alikuwa ana mfukuza kabisa nyumbani anakuja kuishi na mwanamke mwingine ndani ya nyumba mama kama 2017 alitengeneza fix kuwa ameshika mama na mwanaume ndani ya nyumba jambo likafika mpaka kuserekali uko lakini kwa bahati mbaya polisi walifanya upelelezi wao wakagundua ni uongo tu na moja ya plan zake zilikiwa afukuze mama pale ao mwanamke mwingine kama alivyokuwa anafanya afrika
 
Kama unawatoto wanne na mke Dingi yako ana 46yrs old,tatizo ni kwamba hii story ni chai,tuambie entirely truth tukushauri mkuu
 
Fanya kuungua umpangishie mahali halafu before umwambie hiz nyumba za serikali kuna muda wanakagua wakikukuta mtu asiye kwenye mkataba unanyang'anywa nyumba. Mtokee kwa nyuma mkuu. Kingine jitahd uishi kama biblia inavyosema
Kuwa na kiasi na kila kitu. Usimuonee yeyote huruma kupita. Nimekumbuka Ontario
 
Mpeleke akaombe nyumba yake ya serikali, na kwa umri wake ana weza kupata pesa ya kula toka serikalini.
Umri wa miaka 46 aweza kupewa pesa ya bure ya jujikimu, kwani kawa mzee kwa umri huo?
 
Huyo baba ako tabia ya kipuuzi ya kupenda sana kula hana tofauti na mimi.
 
Mrudishe ulikomchukua atajiongeza mwenyewe! Maana yake unamsimanga baba yako hata kwa chakula unachompa!!
Furaha ilioje leo nimemuona mkongwe kibunango janvini!
 
Ikiwezekana mlete na mama yako tukae naye, usipende kurukia kujibu comment hivyo.

Badala ya kumjibu mleta mada, una kuja kukimbilia kuni ambia mimi.
Kama haikuhusu unawashwa na nini? Tuliza boli huko shamba mzee. Mambo ya Unyamwezini huyawezi!
 
Kwahiyo baba yako mmbea, halafu mvivu na anakula sana??

Umesema unamshauri pia kuhusu kujenga maisha yake?!! 😹😹😹

Diaspora mna hekaheka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…