Naomba ushauri wakulima wenzangu

Drip irrigation mm ndio ninayo tumia na pia nina wafungia watu pia tuwasiliane ukitama mfumo huu na kukushauli zao lipi na soko lake 0620345862
 
Mfumo bora wa umwagiliaji hutegemea mambo yafuatayo



Hayo yatakuonga utumie aina ipi ya umwagiliaji


Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Aina ya mazao ni Kilimo Cha mboga mboga kwa ujumla pamoja na mazao ya nafaka.
Aina ya udongo n kichanga.
Chanzo Cha maji ni bwawa kubwa ambalo Lina urefu MITA 60 upana MITA 30 kina MITA 2
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom