Nyachumwi
Member
- Oct 2, 2019
- 36
- 35
Wakuu saalam nyingi kwenu poleni na majukumu ya kulijenga taifa na familia zenu.
Kijana mwenzenu nimekata shauri ya kuwa na mke hivo nimeanza mchakato wa kufunga ndoa. Ninaomba ushauri wa rangi nzuri ya suti na viatu. Pia na maeneo ya kupata pete kwa bei ambayo ni affordable.
NB. Mimi kwa kuanzia nimependekeza hizi hapa mbili za kuanzia.
Mimi ni mweusi japo sio kama msudani kusini.
Kijana mwenzenu nimekata shauri ya kuwa na mke hivo nimeanza mchakato wa kufunga ndoa. Ninaomba ushauri wa rangi nzuri ya suti na viatu. Pia na maeneo ya kupata pete kwa bei ambayo ni affordable.
NB. Mimi kwa kuanzia nimependekeza hizi hapa mbili za kuanzia.
Mimi ni mweusi japo sio kama msudani kusini.