Tumia taratibu za kisheria kuwathibiti,
Ukishafanikisha, usiliache tena bila kulimwa,unaweza fanya jambo moja kati haya.
1)panda miti,
2)kodisha eneo lako kwa kilimo nk.
3)jenga nyumba ndogo umuweke mtu akae bure akuchungie eneo lako,
4) kisha weka alama za kudumu kwenye mipaka yako