Tumia taratibu za kisheria kuwathibiti,
Ukishafanikisha, usiliache tena bila kulimwa,unaweza fanya jambo moja kati haya.
1)panda miti,
2)kodisha eneo lako kwa kilimo nk.
3)jenga nyumba ndogo umuweke mtu akae bure akuchungie eneo lako,
4) kisha weka alama za kudumu kwenye mipaka yako
Nimeshuhudia watu wakinyang'anywa mashamba yasiyoendelezwa, yanaitwa mashamba pori . Kiukweli it's unfair kukalia eneo hulitumii wakati kuna watu hawana pa kulima. Tafuta mtu mpe shamba alime bure ilimradi isionekane pori.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.