thomas_360
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 1,459
- 1,428
Mimi naomba kufahamu juu ya hii case yangu nitaweza kusolve vipi, nilipata kazi kwenye kampuni fulani inaendeshwa na wahindi lakini ni zaidi ya miaka miwili sijapatiwa mkataba wa kudumu na hata malipo ninayoyapata hayaendani na viwango kisheria.
Nina bachelor degree lakini nalipwa chini ya laki 6, mshahara naweza nisiangalie sana lakini nakosa haki za msingi. Mfano likizo sipati, sipo kwenye mifuko ya kijamii hata Ikitokea nafukuzwa kazi sina cha kujitetea.
Lakini kabla ya hayo yote kutokea naomba nipate darasa nini nifanye ili miaka yangu miwili ya kuwatumikia hawa watu isipotee bure, na sio kwangu tu kuna wafanyakazi wenzangu pia wanatatizo kama hili.
don't waste your time on lecturing me, this is 2020
Nina bachelor degree lakini nalipwa chini ya laki 6, mshahara naweza nisiangalie sana lakini nakosa haki za msingi. Mfano likizo sipati, sipo kwenye mifuko ya kijamii hata Ikitokea nafukuzwa kazi sina cha kujitetea.
Lakini kabla ya hayo yote kutokea naomba nipate darasa nini nifanye ili miaka yangu miwili ya kuwatumikia hawa watu isipotee bure, na sio kwangu tu kuna wafanyakazi wenzangu pia wanatatizo kama hili.
don't waste your time on lecturing me, this is 2020