LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,449
Poleh sanasuala la kurasimisha ni gumu kidogo,kutokana na kuwepo kwa historia ya uhasama baina yangu na wazazi wake,na pia hata ningemuoa bado nisingekuwa na ushirikiano na familia yake,hivyo solution ni kuvunja uchumba
Jipe muda kutafakari
Au upande wao pia wanakukwamisha kwa vigezo vya hela lakini wana malengo yao?..
Walishakutamkia wao kuwa uvunje uchumba?.