lwigwano
Senior Member
- May 14, 2015
- 130
- 66
Kama kichwa kinavodai mie nimevutiwa na huu mmea haswa kutokana na tabia za watu niliokaanao ambao wanatumia niwatu wapole saana na hawajali maisha ya watu yaaani wanajalii yao tu pia sijawai kuwaona wakifanyiana kislan sasa kabla sijaaanza kuvuta natamani nijue kwanini wengine wanakua machizi wengine fresh na athari nyingine za kiafya tu.