officialstawa
Member
- Sep 30, 2016
- 95
- 18
- Thread starter
- #81
ndio nina CCD EGMNa iyo mwakani sifa unazo lakini mana si tunaingia third round tuna GPA ya 3.4 bado Ndalichako anatufikiria hatujachaguliwa, lakini kuna watu wana GPA 3.0 wamechaguliwa tokea first round sijuw wametumia formula gani nchi yetu mashaka matupu ata ukitaka kusoma pia ni shida ukiacha nishida ukisoma ni shida