officialstawa
Member
- Sep 30, 2016
- 95
- 18
- Thread starter
- #21
nlisoma EGMUlisom komb gan adv
nlisoma EGMUlisom komb gan adv
Nenda direct chuoni wanaweza kuku consider vyuo kama Tumaini na MUM wana dahili direct pia ukiachana na TCU.
Mum wanakubal without tcuWalisema udahili lazima upitie tcu
Mum wanakubal without tcu
Nenda direct chuoni wanaweza kuku consider vyuo kama Tumaini na MUM wana dahili direct pia ukiachana na TCU.
Kipo Morogoro kina Itwa Muslim University of Morogoroicho chuo kipo wapi?
Ndio hiyo ni kauli tu kama kauli nyingine ila MUM na Tumain ni miongoni mwa vyuo ambavyo vinadahili directWalisema udahili lazima upitie tcu
inshallahInabidi tu uvumilie mwaka huu mmoja. Then next intake utaomba na utapata, inshaAllah.
-Kaveli-
ouky asantee nitajaribu kwendaKipo Morogoro kina Itwa Muslim University of Morogoro
Sawa kk nakuombeaa ila pitia guide book uone koz wanazotoaa ipi itakufaaouky asantee nitajaribu kwenda
tumaini ya wap?Ndio hiyo ni kauli tu kama kauli nyingine ila MUM na Tumain ni miongoni mwa vyuo ambavyo vinadahili direct
Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
Sawa kk nakuombeaa ila pitia guide book uone koz wanazotoaa ipi itakufaa
Ooh samahan sanaa neno kk limenkaa mdomon sanaa dada angsawa asantee ila mimi ni dada sio kaka
Yeah, it's real tena hata UDOM sema kwa sasa itakuwa too late!Mie pia nimesikia hilo. Kwamba baadhi ya vyuo ukienda kuapply direct chuoni, wanaweza kukuconsider.
-Kaveli-
Yeah, it's real tena hata UDOM sema kwa sasa itakuwa too late!
Ila hivyo vingine anaweza kupata.