sepema
JF-Expert Member
- Jun 13, 2019
- 591
- 1,000
Salaam kwenu, kama kichwa cha mada kinavyosomeka.
Mimi ni mwajiriwa ambaye naweza kudhaminiwa namwajiri wangu kupata mkopo benki. Mwaka huu natamani nikajiendeleze kimasomo katika moja kati ya vyuo vikuu vilivyopo hapa nchini.
Kutokana na kwamba sitamudu gharama za masomo nataka kuomba mkopo.
Sasa nishaurini wakuu, nikakope benki au bodi ya mikopo?
Wasalaam!
Mimi ni mwajiriwa ambaye naweza kudhaminiwa namwajiri wangu kupata mkopo benki. Mwaka huu natamani nikajiendeleze kimasomo katika moja kati ya vyuo vikuu vilivyopo hapa nchini.
Kutokana na kwamba sitamudu gharama za masomo nataka kuomba mkopo.
Sasa nishaurini wakuu, nikakope benki au bodi ya mikopo?
Wasalaam!