zigi 01
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 325
- 198
Sawa chief! Napenda kujua jinsi ya kuitambua simu original ya Samsung maana nimeshashikishwa copy sana now nimechoka nahitaji kupata original so naitambuaje?Unashangaa 15W? High-end Kama note 10+ na ndugu zake chaja zao Ni mpaka 45W.