MotoYaMbongo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,146
- 884
Naomba wajuzi mnipe ushauri ninunue sim ipi kati ya Samsung galaxy a10 na Samsung galaxy a20?
Asante kwa ushauri mkuu.A20 ina super amoled display, A10 ina IPS display
tofauti kubwa sana iyo, super amoled ni superiror to IPS
a. inatengeneza deep colors (blackest black, whitest white, deep RGBs)
b. hakina 'backlgiht', hivyo hakilivyonzi battery ukikompea na IPS
anytimeAsante kwa ushauri mkuu.
A20 ina super amoled display, A10 ina IPS display
tofauti kubwa sana iyo, super amoled ni superior to IPS
a. inatengeneza deep colors (blackest black, whitest white, deep RGBs)
b. hakiitaji 'backlight', hivyo hakilivyonzi battery ukikompea na IPS
ndio maana napenda kubaki na mid end versions za Samsung (S4 kushuka chini) , sasa apo si unatembea na solar power kabisa yenye kuwasha taa 3, tv, deki, dekoda (joking)fast charging 15W
ndio maana napenda kubaki na mid end versions za Samsung (S4 kushuka chini) , sasa apo si unatembea na solar power kabisa yenye kuwasha taa 3, tv, deki, dekoda (joking)
sishangai kwanini zile Sx zilikua zinalipuka
i know that, 15W ni kubwa mno kwa charger , ina maana ina supply amps kama 15/4.2 = 3.6 A ivi ( kwenda kwa battery) , ni too much kwa circuitry ya simu ku handle kiasi icho , izi ni 'mobile bombs' basi tuBoss hiyo 13 Watts ni Ni power rating ya kucharge simu
Unashangaa 15W? High-end Kama note 10+ na ndugu zake chaja zao Ni mpaka 45W.i know that, 15W ni kubwa mno kwa charger , ina maana ina supply amps kama 15/4.2 = 3.6 A ivi ( kwenda kwa battery) , ni too much kwa circuitry ya simu ku handle kiasi icho , izi ni 'mobile bombs' basi tu
na hatari ni pale battery inapovuta (charging) au kutoa (discharging) amps kubwa, na ndio sababu kubwa kwanini izi S6 and above zina over heat mno
Kwa hiyo hiyo hatari Samsung hawajaiona uione wewe wa Tandale.i know that, 15W ni kubwa mno kwa charger , ina maana ina supply amps kama 15/4.2 = 3.6 A ivi ( kwenda kwa battery) , ni too much kwa circuitry ya simu ku handle kiasi icho , izi ni 'mobile bombs' basi tu
na hatari ni pale battery inapovuta (charging) au kutoa (discharging) amps kubwa, na ndio sababu kubwa kwanini izi S6 and above zina over heat mno
ndio maana napenda kubaki na mid end versions za Samsung (S4 kushuka chini) , sasa apo si unatembea na solar power kabisa yenye kuwasha taa 3, tv, deki, dekoda (joking)
sishangai kwanini zile Sx zilikua zinalipuka
i know that, 15W ni kubwa mno kwa charger , ina maana ina supply amps kama 15/4.2 = 3.6 A ivi ( kwenda kwa battery) , ni too much kwa circuitry ya simu ku handle kiasi icho , izi ni 'mobile bombs' basi tu
na hatari ni pale battery inapovuta (charging) au kutoa (discharging) amps kubwa, na ndio sababu kubwa kwanini izi S6 and above zina over heat mno
Unashangaa 15W? High-end Kama note 10+ na ndugu zake chaja zao Ni mpaka 45W.
Sometime unakurupuka asubuhi umesahau kuchaji simu, ukiwa na fast charge kitendo Cha kwenda kuoga na kuvaa dakika kama 30 unakuta simu Ina asilimia 80 tayari. Inasaidia Sana kusema kweli.Na hata Huawei Mate 30 pro nlisikia wana mpango wa kuja na 55W.....kwa dunia ya sasa hasa 2019 ni uzembe kupoteza masaa matatu kuchaji whike you can full charge within one hour...
ni kweli waliiona ndio maana zile Note zikawa zinalipuka na kuua watuKwa hiyo hiyo hatari Samsung hawajaiona uione wewe wa Tandale.
Ni mpaka 45W
🏃♂️🏃♂️🏃♂️wa kuja na 55W