Naomba ushauri nimewakosea sana wanaoenda kuwa wakwe zangu kutokana na mkanganyiko wa familia yangu/Sikutokea siku ya Send off

Mabinti wa Ngara sijui mnamatatizo gani! Wahangaza full,maigizo nakujiona wao ni wazuri sana, huko uendako tegemea mengi na sio kama unavyodhani! Unaweza enda ukarudi mguu umevimba, usichezee kabisa akili za watu,wanaweza kukufanya ndondocha!
Hawajui watu wa Mbeya huyu asiende kabisa huko maana atarudi na kiwiliwili tu kichwa wanabaki nacho.
Asijaribu kwenda.
 
Dada pole sana,kaombe radhi ni sawa lakini usiombe kurudia mchakato,huyo mwanaume hakuwa rizki yako,ni uungwana kuomba radhi na rudisha kishika uchumba,then rudini kwenu,Mola atakuletea mume wako

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
japo muda umepita lkn wacha nikwambie

una miaka 29,
halaf single mama

ulivyosikia mwenzako kaoa ukashikwa na hasira

asa cha ajabu ni kipi hapo??
mbona wewe ulishazaa. hata km haukuolewa.

unataka mume wa peke yako na wakat wewe ulishakuwa mke wa mtu??

we siyo mstaarabu hata kdg
kwanza hufai kuwa mke..

bora hilo lilijitokeaza
 
Huyu dada naomba niseme pia mamaake nae akili ndogo, tena ndogo sana...tusimlaumu tu yeye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…