Naomba ushauri nimepoteza uwezo wa kujiamini

Naomba ushauri nimepoteza uwezo wa kujiamini

name 97

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2023
Posts
200
Reaction score
553
Nimepitia mambo mengi sana ya ajabu-changamoto nyingi sana

Ni kijana mdogo tu miaka 27 lakini niliyopitia yanatisha.

Kwa sasa naona kabisa nimepoteza uwezo wa kujiamini,nashindwa kuisimamia misimamo yangu

Kila kitu naona kama kinafeli kabla hakijaanza.

Nashindwa kusimamia kile nachokiamini,nabadilishwa na mitazamo ya watu na changamoto za kawaida.

Nawezaje kujiamini tena
 
Nimepitia mambo mengi sana ya ajabu-changamoto nyingi sana

Ni kijana mdogo tu miaka 27 lakini niliyopitia yanatisha.

Kwa sasa naona kabisa nimepoteza uwezo wa kujiamini,nashindwa kuisimamia misimamo yangu

Kila kitu naona kama kinafeli kabla hakijaanza.

Nashindwa kusimamia kile nachokiamini,nabadilishwa na mitazamo ya watu na changamoto za kawaida.

Nawezaje kujiamini tena
Ni kweli mkuu, hata jinsi ulivyo andika, yaonesha hujiamini.

Huwezi omba ushauri bila kujielezea. Hujiamini katika angle ipi? Mapenzi yamekubabua au ni maisha? Masomo, kazi, au una kithethe?

Speak out broh
 
Pole na Mimi napitia hii changamoto
Nimepitia mambo mengi sana ya ajabu-changamoto nyingi sana

Ni kijana mdogo tu miaka 27 lakini niliyopitia yanatisha.

Kwa sasa naona kabisa nimepoteza uwezo wa kujiamini,nashindwa kuisimamia misimamo yangu

Kila kitu naona kama kinafeli kabla hakijaanza.

Nashindwa kusimamia kile nachokiamini,nabadilishwa na mitazamo ya watu na changamoto za kawaida.

Nawezaje kujiamini tena
Pole sana mkuu
 
Nimepitia mambo mengi sana ya ajabu-changamoto nyingi sana

Ni kijana mdogo tu miaka 27 lakini niliyopitia yanatisha.

Kwa sasa naona kabisa nimepoteza uwezo wa kujiamini,nashindwa kuisimamia misimamo yangu

Kila kitu naona kama kinafeli kabla hakijaanza.

Nashindwa kusimamia kile nachokiamini,nabadilishwa na mitazamo ya watu na changamoto za kawaida.

Nawezaje kujiamini tena
Jifunze kutokana na makosa


Sehemu kubwa ya makosa ni vile unaanza jambo bila uzoefu

Kwenye kushindwa kwako, lipo jambo umejifunza

Hilo ni tofali tayari kwa ajili ya ujenzi mpya

Usisite kuanza upya bila kujali hali, mazingira, maoni ya watu nk

Unaanguka kwa muda, then unasimama tena

Safari hii unaanza ukiwa na uzoefu ( maarifa, udadisi + hadhari) badala ya kuwa na ujasiri wa uongo, nakujitumai kwa uongo

Jitie nguvu, simama tena.
 
Sijui ni mimi tu huwa na napenda sana ufafanuzi na very specific statements, maneno mengi yako so cloudy na hayana tafsiri mfanano kwa kila mtu, mfano je? Kivipi katika situation zipi?
 
Ni kweli mkuu, hata jinsi ulivyo andika, yaonesha hujiamini.

Huwezi omba ushauri bila kujielezea. Hujiamini katika angle ipi? Mapenzi yamekubabua au ni maisha? Masomo, kazi, au una kithethe?

Speak out broh
Uncle kithethe ndo ki nini😃😃🤔🤔
 
Back
Top Bottom