Naomba ushauri nifanyeje kwa hili?

Naomba ushauri nifanyeje kwa hili?

mimi nimetoa maombi yangu na tafadhali sana naomba unisikie , japo nachokushauri ni kwamba pambana kwanza kwa hali na mali , ila ukishashindwa tu , tafadhali sana naomba hiyo namba aisee

Hahah Mkuu Mambo Yashaanza Kuwa Mazur, Kushindwa Ntapasikia Kwenye Bomba Yani
 
Kumkimbia kwenye gari ulikosea ungemchana palepale kwenye siti, ungeanzia ata story a escrow, panyaroad, smatphone, au ungemuuliza kama ameiona shutin ya diamond upate pa kuanzia

Ha Ha Ha, Halafu Nimegundua Kuwa Huyu Binti Ni Mwl Wa Shule Ya Msingi... Yanii Iyo Story Ya ESCROW Ingeenda Kweli Kweli, Ndio Basi Tena Iyo Ndio Sawa Na Zile Za "NINGE..."
 
Hahah Mkuu Mambo Yashaanza Kuwa Mazur, Kushindwa Ntapasikia Kwenye Bomba Yani
dah!! vipi mtoto anasemaje kwa sasa , ameshakubali kukutana na wewe?? maana haya mambo sio ya kuchelewesha , take advantage mapema hii na hajakufahamu vizuri , unamchakaza kwanza , kujuana baadae
 
Ha Ha Ha, Halafu Nimegundua Kuwa Huyu Binti Ni Mwl Wa Shule Ya Msingi... Yanii Iyo Story Ya ESCROW Ingeenda Kweli Kweli, Ndio Basi Tena Iyo Ndio Sawa Na Zile Za "NINGE..."
waalimu mimi ndio nawapenda jaman, sijui hata nawapatia wapi aisee
 
dah!! vipi mtoto anasemaje kwa sasa , ameshakubali kukutana na wewe?? maana haya mambo sio ya kuchelewesha , take advantage mapema hii na hajakufahamu vizuri , unamchakaza kwanza , kujuana baadae

Mkuu Mambo Mazuri Huku Hahaha, Leo Nimetoka Kumpigia Mchana, Mtoto Fulu Kucheka Kwa Sanaa.... Uwiii Kumbe Yanii Ni Mcheshi Hivii,
Sasa Hiyo Haraka Unanichanganya Mana Wadau Wamenambia Niwe Mpolee Mdogo Mdogo Ndio Mwendo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom