Naomba ushauri nifanyeje kwa hili?

Naomba ushauri nifanyeje kwa hili?

Aseme umemuuliza?!

Hizo swagga za "NIMEOLEWA" wakati mtu anakujulia hali kirafiki tu wengine hawana. Kapiga kimya na wewe piga kimya. Kama anakupima atakuja mwenyewe kwa speed 120.

Dada
Unauwa Namna Hiyo!
Kwanza Wanawake Nyie Mmeumbwa Kwa Haiba, Kitu Hata Kama Unakitaka Hutosema Hapo, Huoni Kama Nikimpotezea MeanWhile Yeye Anataka Ntakua Nimemnyima Haki Yake
 
Mkuu , mimi naomba unisaidie tu namba ya huyo binti , ikiwa utashindwana nae tafadhali sana , maana napenda sana mabinti wacheshi na wachangamfu na pia kwa sasa nipo single maana shemeji yenu hayupo kwa muda.. Tafadhali naomba hiyo namba. Ntakushukuru sana na nitakubariki sana.

Hahahah
Mkuu Mbona Umeanza Kujielezea Tenaa, Ushauri Wako Ni Muhimu Sana
Karibu
 
Hoja zako hazina nguvu kiviiiiiiiiiileeee...anyway fanya ile kitu moyo inaataka.!
 
Hahahah
Mkuu Mbona Umeanza Kujielezea Tenaa, Ushauri Wako Ni Muhimu Sana
Karibu

mimi nimetoa maombi yangu na tafadhali sana naomba unisikie , japo nachokushauri ni kwamba pambana kwanza kwa hali na mali , ila ukishashindwa tu , tafadhali sana naomba hiyo namba aisee
 
Kumkimbia kwenye gari ulikosea ungemchana palepale kwenye siti, ungeanzia ata story a escrow, panyaroad, smatphone, au ungemuuliza kama ameiona shutin ya diamond upate pa kuanzia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom