Naomba ushauri nifanyeje kwa hili?

Naomba ushauri nifanyeje kwa hili?

Fourier

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2014
Posts
218
Reaction score
76
Juzi wakati natoka nyumbani kwenda katikati ya jiji nilikutana na msichana mmoja ndani ya daladala. Huyu Msichana Alikuwa mzuri kiasi kwamba alivyokuja kukaa kwa Seat yangu moyo ulianza kunienda mbio nisijue nianze na lipi, Maana kwanza alinikuta na earphone masikioni na bus lilikua empty kiasi kwamba raia wengine walikua wanatukodolea macho kama vile walikua wanataka nione nitafanya nini.

Tulipita Foleni Za Mataa Mbili Tatu Bado Nikifikiria Nimuanzaje, Mara Fasta Wazo Likaja Nikajfanya Nashuka Kituo Fulani Cha Mbele Ambacho Sikufahamu na nilikua namuomba anikumbushe tukikaribia.

Dada mwenyewe alikua mcheshi kwani nilivomsifia kuwa kapendeza alicheka sana na kisha akaniambia na mimi nimependeza, hamadi tukakaribia kile kituo na akaniambia, hapo Nilikuwa sina jinsi ni kushuka tuu japo safari yangu ilikuwa inaendelea mbele mpaka mwisho wa daladala. Lakini sikushuka hivihivi kwani nilifanikiwa kupata namba ya yule mrembo.

Sasa suala linakuja tangia nimpigie simu usiku wa ile siku, zimepita siku mbili hatujawasiliana na leo nimetoka kumtumia message tangia jioni mpaka sasa usiku huu wa saa tatu hajajibu.

Naombeni ushauri wakuu kama ni sahihi kuanza kumpigia pigia kwa simu au nisubiri kwanza.
Asanteni.
 
Sasa Suala Linakuja Tangia Nimpigie Simu Usiku Wa Ile Siku, Zimepita Siku Mbili Hatujawasiliana Na Leo Nimetoka KuMTxT Tangia Jioni Mpaka Sasa Usikuu Huu Wa Sa Tatu Hajajibu... Naomben Ushauri Wakuu Kama Ni Sahihi Kuanza Kumpigia Pigia Kwa Simu Au Nisubiri Kwanzaa....
Asantenii
...
...call and tell her...''my love for you is like diarrhea,I cant hold it in''
 
eeeeMUNGUweee! nimecheka hadi basi, wewe mtoto yaani umeshuka kituo kisichokuhusu kisa bint? huo ni woga, usharobaro au nini?
 
Kwani lengo la kutaka kumpigia huyo dada nini...??
 
Embu tulizana bana.

Ukiona mtu kakaa kimya pengine ana sababu zake. Ukute ana mume/mpenzi alafu uanze habari ya kumpigia pigia simu hovyo.
 
nimeisoma na kuielewa thread hii, ngoja nifuate thread nyingine wakati huu nasubiri mataa yaturuhusu...
 
Usimtumie ujumbe mfupi wa maneno, mpigia simu kabisa kila mara mpaka mtakapozoeana ndipo uanza ujumbe mfupi wa maneno. Jaribu na pia kuwa unampigia simu mchana.
 
eeeeMUNGUweee! nimecheka hadi basi, wewe mtoto yaani umeshuka kituo kisichokuhusu kisa bint? huo ni woga, usharobaro au nini?

Iyo Gia Tuu Jaman.... Hapo Kuna Usharobaro Au Udogo Vipi
 
kuwa na subira ukianza kuogopa ogopa mapema hiyo papuch utaikosa...
 
Embu tulizana bana.

Ukiona mtu kakaa kimya pengine ana sababu zake. Ukute ana mume/mpenzi alafu uanze habari ya kumpigia pigia simu hovyo.

POINT!
Lakin Pia Ni Vizur Aseme Mapema Ili Na Mim Quit Kuliko Ku'Assume Ka Anae Au Hana Hayo Ni Mawazo Mengine
 
Usimtumie ujumbe mfupi wa maneno, mpigia simu kabisa kila mara mpaka mtakapozoeana ndipo uanza ujumbe mfupi wa maneno. Jaribu na pia kuwa unampigia simu mchana.

Mkuu Asante Sana, Ushauri Wako Ntaufanyia Kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom